Sunday, July 1, 2012

POMBE NOOOOOMA...

Jamaa mlevi anaingia kwenye bus na
kuweka begi kwenye siti ya mbele,
akadoz. Mlevi mwingine akaja akatoa lile begi na kukaa pale,
akadoz pia. Wakwanza anaamka akidhani anafungua begi yake
kumbe ni zip ya mlevi mwngne, akaweka mkono ndani na kuuliza, nani ameweka ndizi na
machungwa kwenye begi langu?

No comments:

Post a Comment